Viwango vipya vya Mishahara

mkizantongani

Member
Apr 1, 2012
66
11
Hivi viwango vipya vya mishahara hususan kwa walimu vilivyovumishwa kuanza mwezi Dec. 2012 vimeishia wapi?. Upepo ulivuma kwa kasi na wengine kusema wameunyaka walaka,unaoeleza kurudi kwa teaching allow.. 50% ya salary na rent allow.. Juu yake. Kwel TZ ni zaid ya huijuavyo!
 
Back
Top Bottom