mkizantongani
Member
- Apr 1, 2012
- 66
- 11
Hivi viwango vipya vya mishahara hususan kwa walimu vilivyovumishwa kuanza mwezi Dec. 2012 vimeishia wapi?. Upepo ulivuma kwa kasi na wengine kusema wameunyaka walaka,unaoeleza kurudi kwa teaching allow.. 50% ya salary na rent allow.. Juu yake. Kwel TZ ni zaid ya huijuavyo!