Jamani hivi hawa wanaongea nini hasa...! mimi binafsi sijawaelewa...Kama watanzania watachagua chama hiki basi Tanzania tuna tatizo kubwa kuliko ninavyofikiri....!
Jamani hivi hawa wanaongea nini hasa...! mimi binafsi sijawaelewa...Kama watanzania watachagua chama hiki basi Tanzania tuna tatizo kubwa kuliko ninavyofikiri....!
Jamani hivi hawa wanaongea nini hasa...! mimi binafsi sijawaelewa...Kama watanzania watachagua chama hiki basi Tanzania tuna tatizo kubwa kuliko ninavyofikiri....!
Mkuu unategemea CCM watawaambia nini wananchi zaidi ya kuwadanganya."If you can't convince them,confuse them",maneno haya yalitamkwa na rais wa 33 wa USA aliyetawala kuanzia mwaka 1945. Nimetazama picha nikabaki nacheka maneno yaliyotamkwa miaka mingi iliyopita bado yanafanyakazi karne ya 21.