vijana kila tunda na staili yake ya kulila ukitaka kula nanasi kama embe na ganda lake utasema nanasi halifai kumbe ubozi wako tu. kuna wanaojua ya mauno tu, kuna wanaoenda za magogo tu na kuna wanaojua namna ya kufaidi zote. Kinachotakiwa ujuzi tu. Kama wa mauno huna pole!