Picha mkuu,,me naona Ist ni ngumu kwahyo budget ikiruhusu unavuta tu.Vitz new model cc 1290 na ist old cc 1290
Ist bei juu vitz bei chini ila nataka gari nzuri je niende na ipi?
Je, mfuko wako unkuruhusu ipi.?!Vitz new model cc 1290 na ist old cc 1290
Ist bei juu vitz bei chini ila nataka gari nzuri je niende na ipi?
Bila shaka itakuwa ya piston 3IST inagusa 20M sasahivi wakati Vitz ukienda pale showroom za Jan international unapata kwa 14M tena ya mwaka 2012. Nashauri nenda na Vitz
Hata yenye piston nne bei ni hiyo, January nilienda pale Vitz ya 2012 ilikua 14M na kali sana nje na ndaniBila shaka itakuwa ya piston 3
Sidhani kama inaweza kuwa hiyo bei ,ntapita hapo wiki hii nione .Hata yenye piston nne bei ni hiyo, January nilienda pale Vitz ya 2012 ilikua 14M na kali sana nje na ndani
Pia tembelea page yao ya Instagram Jan international. Wana gari kali za bei nafuuSidhani kama inaweza kuwa hiyo bei ,ntapita hapo wiki hii nione .