Vitz namba c na namba b zinauzwa 0656 43 66 62

Vitz namba c na namba b zinauzwa 0656 43 66 62

starson85

Senior Member
Joined
Jan 19, 2015
Posts
146
Reaction score
14
Pata gari aina ya vitz na mengineno kwa uhitaji wako piga simu/au tma sms na wasp kujua zaid namba b 5.5m namba c 6m maelewano yapo
 
Hivi number huwa zina-determine ubora wa gari?

Samahani lakini.
 
Jaribu pia kutangaza na Zoom Tanzania na kupatana
maana hapa kwetu hujaweka specification kibao
umeweka tu namba za usajili huenda Mileage Picha na muonekano ukakushusha hadi 3m
 
Hivi number huwa zina-determine ubora wa gari?

Samahani lakini.

Yes ofcourse, namba huwa zinadetermine value ya gari, na pia zmawezesha kutambua gari imetumika kwa kiasi gn.,na kwa muda gn ,mfano gari yenye no. C itauzwa bei ya juu kuliko yenye no. B.
 
Yes ofcourse, namba huwa zinadetermine value ya gari, na pia zmawezesha kutambua gari imetumika kwa kiasi gn.,na kwa muda gn ,mfano gari yenye no. C itauzwa bei ya juu kuliko yenye no. B.

That's absolutely wrong:sly:

Mchagga mjanja kumbe ww sio mjanja kabisa.
Kama mm leo nanunua gari showroom imetembea km170000, mwingine ananunua gari kwako ambayo umeshatembelea haijalishi kwa mda gani, odometer onasoma km50000, ipi itakuwa ni bora kati ya hizo?
 
That's absolutely wrong:sly:

Mchagga mjanja kumbe ww sio mjanja kabisa.
Kama mm leo nanunua gari showroom imetembea km170000, mwingine ananunua gari kwako ambayo umeshatembelea haijalishi kwa mda gani, odometer onasoma km50000, ipi itakuwa ni bora kati ya hizo?

Huyo kazungumzia ishu ya namba sio kilometer, afu pia unadhan gari yenye no. C inaweza ikawa imetembea xna kuliko yenye no. B??, ina maana hyo yenye no. B ilikuwa imewekwa kma mapambo ndani haitembei???
 
Huyo kazungumzia ishu ya namba sio kilometer, afu pia unadhan gari yenye no. C inaweza ikawa imetembea xna kuliko yenye no. B??, ina maana hyo yenye no. B ilikuwa imewekwa kma mapambo ndani haitembei???

Nimeshagundua mtu ninae bushana nae ni wa aina gani:thumbdown:

Siku njema mkuu
 
Huyo kazungumzia ishu ya namba sio kilometer, afu pia unadhan gari yenye no. C inaweza ikawa imetembea xna kuliko yenye no. B??, ina maana hyo yenye no. B ilikuwa imewekwa kma mapambo ndani haitembei???

Ofcz kuna mtu unakuta ana gar 4 gar moja inatumika kwenda church tu tuseme ni b na mwngne ana d gar moja jtatu ad jtatu inaenda posta na kurud jbu litakua b ni imara zaidi
 
Huyo kazungumzia ishu ya namba sio kilometer, afu pia unadhan gari yenye no. C inaweza ikawa imetembea xna kuliko yenye no. B??, ina maana hyo yenye no. B ilikuwa imewekwa kma mapambo ndani haitembei???
Kuhusu namba niupuuzi mi nimemnunulia mke wangu gari bkv. Mpaka leo tangu nimeitoa japani ametumia km. 4100. Tu yaani home ofisini na ni robo km. Je unaweza fananisha na gari yangu ninayotumia ambayo ni cem..kila siku nimguu na njia dar.. kampala rwanda ....nk.?????
 
Kuna watu wananunua gari kwa namba,wapo wrong,kuna gari zilizotumika znz hata kwa miaka 10 zikiletwa bara zinawekwa namba mpya tena D.
 
Labda na mimi nitoe ka uzoefu kangu,
unaweza kukaa na gari miaka kumi ila unatumia kwenda kazini/Kanisani/Msikitini umbali wa KM 5 tu hivi kwa siku; lakini pia kuna watu wanatumia gari kwenda kazini umbali wa zaidi ya 140km (kwenda na kurudi) kila siku (mfano, moro to Dar; au Arusha Moshi kila siku ya kazi. Hilo gari liki kaa miaka tano hivi unaweza kuliona limeanza kuchoka (zaidi ya km 200,000) wakati lile la miaka kumi lina KM 40,000 bado zima kabisa.

Upya wa namba ni jinsi tu lilivyo sajiliwa lilipo ingia mara ya kwanza Tanzania Bara.
Kumbuka hata, ukiagiza gari la zamani....mf. mwaka 1990 na km zaidi ya 200,000 litasajiliwa kwa namba mpya kabisa (D)
Naomba ufikirie upya unavyo tumia namba kama kigezo cha ubora wa gari.

kazi kwako!
 
Labda na mimi nitoe ka uzoefu kangu,
unaweza kukaa na gari miaka kumi ila unatumia kwenda kazini/Kanisani/Msikitini umbali wa KM 5 tu hivi kwa siku; lakini pia kuna watu wanatumia gari kwenda kazini umbali wa zaidi ya 140km (kwenda na kurudi) kila siku (mfano, moro to Dar; au Arusha Moshi kila siku ya kazi. Hilo gari liki kaa miaka tano hivi unaweza kuliona limeanza kuchoka (zaidi ya km 200,000) wakati lile la miaka kumi lina KM 40,000 bado zima kabisa.

Upya wa namba ni jinsi tu lilivyo sajiliwa lilipo ingia mara ya kwanza Tanzania Bara.
Kumbuka hata, ukiagiza gari la zamani....mf. mwaka 1990 na km zaidi ya 200,000 litasajiliwa kwa namba mpya kabisa (D)
Naomba ufikirie upya unavyo tumia namba kama kigezo cha ubora wa gari.

kazi kwako!

Asipo elewa bac
 
Hivi number huwa zina-determine ubora wa gari?

Samahani lakini.

Kwa ushamba wa Watanzania. Hawajui kuwa ukileta gari lililotumika Zanzibar kwa miaka mitano au kadhaa, bado ukilileta leo litakuwa na usajili huu: T...DDC(namba mpya ya week hii). Kumbuka kwa sasa namba zishatoka T. ..DCA-Z na kuwa T...DDA-C!

Hivyo ni kweli kuna magari mengi mabovu lakini yana namba mpya, sasa kwa sababu ya USHAMBA wetu hasa hapa Dar, wadanganyika wananunua herufi. Utasikia nataka gari premio namba C au D!
 
Kwa ushamba wa Watanzania. Hawajui kuwa ukileta gari lililotumika Zanzibar kwa miaka mitano au kadhaa, bado ukilileta leo litakuwa na usajili huu: T...DDC(namba mpya ya week hii). Kumbuka kwa sasa namba zishatoka T. ..DCA-Z na kuwa T...DDA-C!

Hivyo ni kweli kuna magari mengi mabovu lakini yana namba mpya, sasa kwa sababu ya USHAMBA wetu hasa hapa Dar, wadanganyika wananunua herufi. Utasikia nataka gari premio namba C au D!

Wajinga ndio waliwao mkuu, wacha waendelee kununua herufi badala ya magari.
 
Huyo kazungumzia ishu ya namba sio kilometer, afu pia unadhan gari yenye no. C inaweza ikawa imetembea xna kuliko yenye no. B??, ina maana hyo yenye no. B ilikuwa imewekwa kma mapambo ndani haitembei???

Napata simanzi kwa mawazo mgando.Yapo magari watu wamenunua odometer inasoma km15000 na kwa kuwa alinunua likiwa limetumika kidogo sana say mwaka 2012, basi hadi sasa itakuwa ni km95000 say! Lakini bado kuna mtu kaagiza gari Japan SBT,Tradecarview, BE FORWARD, Autorec,Car Junction, Japanese vehicles.com nk yana soma km135000.,Ukija kulisajili hapa litapata namba D, lakini kimsingi tayari ni kuu kuu, na depreciation inakuwa juu, japo namba ni B, bado ni mkweche kuliko lile lililosajiliwa mwaka 2012, na kwa sasa lina namba B na km95000
 
Chakavu ya bongo sio chakavu ya Japan,.ndomana hazalishi mitumba watanzania,.
 
Back
Top Bottom