Vituo vya Afya 214 Kujengwa Nchini.

Vituo vya Afya 214 Kujengwa Nchini.

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
79,241
Reaction score
85,119
Serikali imesema itaanza awamu ya pili ya ujenzi wa Vituo vya Afya 214 kwenye Kata zote za Kimkakati Nchini.

Kwa miaka 4 ya mama atakuwa kajenga jumla ya Vituo vya Afya 450 plus vifaa tiba na Ajira Juu.

View: https://twitter.com/ortamisemitz/status/1703015971940683886?t=TRrcPA_ngFuLW3VZ9f9Q4w&s=19

My Take
Awamu ya Kwanza chini ya pesa za tozo Serikali ya Mama ilijenga Jumla ya Vituo vya Afya 206.Fanyeni hesabu harafu mlinganishe na wale wazalendo waliokuwa wanajihamba Kwa Vituo vya Afya 350 Kwa Miaka 5.

View: https://www.instagram.com/p/CxQh3v0NRR_/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Nawashauri wale wapenda Nchi wote, watumie Vituo hivyo kurudisha kadi za Uanachama wa CCM

Ondoa Mafisadi.

Rudisha kadi uondokane na aibu na fedheha ya kuwa miongoni mwa wanachama wanaowezesha Nchi kuuzwa.
 
Serikali imesema itaanza awamu ya pili ya ujenzi wa Vituo vya Afya 214 kwenye Kata zote za Kimkakati Nchini.

Kwa miaka 4 ya mama atakuwa kajenga jumla ya Vituo vya Afya 432 plus vifaa tiba na Ajira Juu.

View: https://twitter.com/ortamisemitz/status/1703015971940683886?t=TRrcPA_ngFuLW3VZ9f9Q4w&s=19

My Take
Awamu ya Kwanza chini ya pesa za tozo Serikali ya Mama ilijenga Jumla ya Vituo vya Afya 206.Fanyeni hesabu harafu mlinganishe na wale wazalendo waliokuwa wanajihamba Kwa Vituo vya Afya 350 Kwa Miaka 5.

Na umeme Mama kapelekq vijiji vingapi?
 
Wanatosha kwa vituo vyoye alivyojenga?
Hakuna kada ambayo Watumishi wanatosha,hao Watumishi anaoajiri mama walau watapunguza uhaba.
Na umeme Mama kapelekq vijiji vingapi?
Mwaka huu desemba Vijiji vyote vitafikiws na umeme.

Cha kusikitisha pamoja na Serikali kutumia gharama kubwa Kupeleka umeme Vijijini na kuwapa ofa ya 27,000 Bado ni watu wachache sana wameweka umeme huko Vijijini.
 
Kuendelea tu kujenga majengo huku Madaktari na wauguzi wakiendelea kusota mtaani, huduma zikiendelea kuwa duni; ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Ajira mpya 47000 kutangazwa muda wowote; Boniphace Simbachawene

Safari hii mpaka mkimbie nchi kwa kuchukia maendeleo 🤣🤣
 
Serikali imesema itaanza awamu ya pili ya ujenzi wa Vituo vya Afya 214 kwenye Kata zote za Kimkakati Nchini.

Kwa miaka 4 ya mama atakuwa kajenga jumla ya Vituo vya Afya 432 plus vifaa tiba na Ajira Juu.

View: https://twitter.com/ortamisemitz/status/1703015971940683886?t=TRrcPA_ngFuLW3VZ9f9Q4w&s=19

My Take
Awamu ya Kwanza chini ya pesa za tozo Serikali ya Mama ilijenga Jumla ya Vituo vya Afya 206.Fanyeni hesabu harafu mlinganishe na wale wazalendo waliokuwa wanajihamba Kwa Vituo vya Afya 350 Kwa Miaka 5.

Including matundu 16 ya choo mashuleni!! Still they strugglin' on tha things!!
 
Ajira mpya 47000 kutangazwa muda wowote; Boniphace Simbachawene

Safari hii mpaka mkimbie nchi kwa kuchukia maendeleo 🤣🤣
Hizo ajira zina faida gani kwa watoto wa masikini kama robo 3 ya hiyo idadi mnaajiri ndugu zenu na wale wajanja wachache waliopitia mlango wa nyuma?
 
Hakuna kada ambayo Watumishi wanatosha,hao Watumishi anaoajiri mama walau watapunguza uhaba.

Mwaka huu desemba Vijiji vyote vitafikiws na umeme.

Cha kusikitisha pamoja na Serikali kutumia gharama kubwa Kupeleka umeme Vijijini na kuwapa ofa ya 27,000 Bado ni watu wachache sana wameweka umeme huko Vijijini.
Umeme vijijini unawekwa kwa kutumia fedha zetu tunazokatwa kwenye kila lita moja ya mafuta ya taa, dizeli na petroli. Hiyo serikali yako inatumia gharama kubwa kiasi gani kwa mfano?
 
Umeme vijijini unawekwa kwa kutumia fedha zetu tunazokatwa kwenye kila lita moja ya mafuta ya taa, dizeli na petroli. Hiyo serikali yako inatumia gharama kubwa kiasi gani kwa mfano?
Kwa hiyo hoja Yako ni ipi?
 
Back
Top Bottom