ETI MBOWE MTOTO WA NYERERE
Wana JF nimeinyaka hii katika viunga vya Mjini Moshi kuwa ati Freeman Mbowe ni mtoto wa Nyerere. Katika maongezi baada ya kupata moja mbili kwenye baa moja iliyopo hapa Moshi maeneo ya Kiusa, niliwasikia jamaa wakibishana kuwa Mbowe ni mtoto wa nje wa nyerere.
Mjenga hoja katika kuhalalisha hoja yake ya kuwa ati Mbowe ni mtoto wa Nyerere, alitoa mfano wa ujasiri wa Mbowe kuwa ni kielelezo tosha cha uhusiano wa Nyerere na Mbowe. " Bwashee, Mbowe ni mtoto wa Mwalimu ati, ni mchagga gani ana courage ya kihivyo kama ya Nyerere" Alisikika jamaa huyo akisema, na kuongeza " Ukiondoa makengeza, kila kitu ni copyright na Mwalimu"
Du!!!!! nikaona hii kali nikajiondokea zangu kuwahi daladala.
wee ondoka zako!
BBA
Tangazo la mpigie kura Mwisho Mwampamba lazua maswali, watu wauliza "KWANI YUKO CHAMA GANI?"
ETI MBOWE MTOTO WA NYERERE
Wana JF nimeinyaka hii katika viunga vya Mjini Moshi kuwa ati Freeman Mbowe ni mtoto wa Nyerere. Katika maongezi baada ya kupata moja mbili kwenye baa moja iliyopo hapa Moshi maeneo ya Kiusa, niliwasikia jamaa wakibishana kuwa Mbowe ni mtoto wa nje wa nyerere.
Mjenga hoja katika kuhalalisha hoja yake ya kuwa ati Mbowe ni mtoto wa Nyerere, alitoa mfano wa ujasiri wa Mbowe kuwa ni kielelezo tosha cha uhusiano wa Nyerere na Mbowe. " Bwashee, Mbowe ni mtoto wa Mwalimu ati, ni mchagga gani ana courage ya kihivyo kama ya Nyerere" Alisikika jamaa huyo akisema, na kuongeza " Ukiondoa makengeza, kila kitu ni copyright na Mwalimu"
UZUSHI wa kwamba MBOWE ni mtoto wa nje wa MWL NYERERE ni uzushi ulio enea sana mjini moshi na wilaya za HAI na SIHA. Watoa uzushi huo wanadai wakati wa kudai UHURU Mwl alikuwa anafadhiliwa na mzee MBOWE na mara nyingi alipokuwa akitafutwa na serikali ya wakoloni alikuwa anajificha nyumbani kwa Mzee MBOWE sasa uswahiba huo ukapelekea Mwl ku cheat na mke wa Mzee MBOWE ndipo FREEMAN AIKAEL MBOWE alipopatikana na kuletwa duniani. Na watoa uzushi huo wana sema kuwa FREEMAN alizaliwa siku ya UHURU na ndio maana akapewa jina la FREEMAN ( kuhusu FREEMAN kuzaliwa tarehe na mwezi wa Tanganyika kupata uhuru nakumbuka MBOWE mwenyewe katika makala zake magazetini amewahi kuthibitisha hilo) Lakini suala la FREEMAN kuzushiwa ni mtoto wa NYERERE ni la ukweli na kunawatu ukibahatika kuonana nao katika viunga vya moshi wanathibitisha uhusiano wa Mwl. na FREEMAN utadhani walishuhudi wakati tendo la kumtafuta FREEMAN likifanyika. NILICHOTAKA KUWAJUZA WANA JF NI KUWA UZUSHI HUO UMEENEA SANA MOSHI(Vunjo, kilema,Marangu na kibosho),HAI, na SIHA
UCHAGUZI WAITIA ADABU CCM
Zile mbwembwe zilizozoeleka za wanachama wa CCM za kujaza Baa na kufurahi kila linapotokea tukio la ujio wa Kikwete, hazionekani katika kipindi hiki.
Hali hiyo ilijitokeza jana mjini Iringa ambapo hadi saa 4 usiku baa zote maarufu zilikuwa tupu kama vile hakukuwa na tukio la ujio wa JK.
Tofauti na siku nyingine ambapo ujio kama huo hushuhudia kufurika kwa sare za Kijani na Njano, hali jana ilikuwa tofauti.
Ama kweli uchguzi wa mwaka huu ni kiboko.
He He He! hii nimeipenda sana, lile kombora kwa Makamba ilikuwa kiboko yake. Ukiona Makanba kanywea ujue wamemgusa pabaya.:smile-big:Wote tunafamu kuwa Makamba akirushiwa dongo haipiti siku lazima awe amelijibu tena kwa mbwembwe na misemo kemkem. Safari hiyo alianza yeye kwa Dr. Slaa,
Makamba; Eti ni mchumba wake!!, yule ni kimada wake tu
Dr. Slaa akaijibu hiyo,
Dr. Slaa; Makamba aache kunifuatilia la sivyo nitasema kwa nini alifukuzwa ualimu wa shule ya msingi!!
tofauti na hulka yake, Makamba alikaa kimya kama siku mbili tatu hivi kisha akaibuka,
Makamba; Dr. Slaa ninamueshimu sana kwani ana mchango mkubwa katika taifa hili!!!!!!!!!!!!!!!