Tanga maeneo ya ngamiani wameweka vibao hivi kuonyesha mitaa ikiwa kwa kiswahili na kiingereza kwa maoni yangu nafikiri kwa kiingereza wangeandika 7th Road au Road # 7 badala ya 7Road kwangu mimi hii haipo sawa viongozi wa jiji la Tanga rekebisheni hii aibu kama hatujui nafuu tungeandika kiswahili tu ambacho ndio kulikuwa kinatumika miaka yote badala ya hii. Hicho ni kibao kimoja upande mmoja kiswahili mwengine kizungu
