Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,798
- 22,131
Lake Mwananyamara (lake) is located in Tanzania nearby to Mwananyamala, Makumbusho, and Mwananyamala. It is also nearby Tandale and Ndugumbi. The latitude of Lake Mwananyamara is -6.78333, and the longitude is 39.25 with the GPS coordinates of 06° 46′ 59.98″ S and 39° 15′ 00.00″ E.
Kweli unapafahamu..[emoji23]Msisiri B Shule ya msingi pale ndipo panaitwa "mbuzi kagoma kwenda" wanawake wanachota maji, anavutwa darasani anapigwa chuma mchicha ndani ya dakika 5 anarudi kwa mumewe na haitakaa ifahamike, hufanyika nyakati za jioni.
MkongweHuu uzi wankumbusha mbaali sana ,mmezaliwa Mwananyamala,nimekulia tandale pale kwa Ally Maua sasa hivi eti Kijitonyama[emoji848]baadae tukahamia hapa mwanayamala ujiji Kona ya ile madrasa ya Shamsia na nyumba ya Julius Nyaisanga kwa mbele kidogo kuna msikiti ndo palikua uswazi hapo,nimekaa Kinondoni kule bwawani kwa Hanzuruni Mungula,enzi hizo kituo hakiiwti Biafra kinaitwa Hombos hotel au Kanisani
Ahsante kwa baba angu ,siku tuliyopangwa tukafundishwe kuvuta bangi wenzangu wananisubiri nje nkaitwa kwenda ndani nikapike wakanisubiri wakaona kimya wakasepa toka hapo wakanitenga wakaniambia Mimi mtoto wa baba!wale wadada wengine waliishia kua mateja tu.
Nashukuru kwa mzee kuhama pia maana I swear kule nisingesoma asehh!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Uzi umefufuka.. Nakumbuka mengi mengine nayasahau halafu nayakumbuka tenaHuu Uzi umenichekesha sana nimesoma Mwanzo mwisho japo ni WA zamani sana @mshanajr Mimi sijawahi kukaa mwananyamala ila niliwahi kukaa kinondoni shamba napo kwa muda mfupi unamjua haji mkambi? Alikua mwizi balaa ingawa alishafariki yeye na wenzake wa walipigwa tukio viwanja vya Biafra na wananchi wenye hasira Kali it was around 2008 au 2009.
nasikia matukio yao walikua wanapiga nyamala enzi hizo? Aliwahi nikosa kosa Alafu nilikua mwanafunzi maskini bahati nzuri walitokea watu wananijua na wanamjua wakamwambia haji huyu mdogo etu ole wako, iwe Mwanzo na mwisho na uwaambie wenzio wote asiguswe huyu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hahahhaa!!tulihama kitambo ila lile life la Nyamala silisahau kulikua na mpemba muuza duka pale ujiji aliibiwaga miaka ya 90 mwishoni na akakatwakatwa mapanga nusu afe,basi akapelekwa Hosp akatibiwa akapona alivyopona wale wezi walikufaa woteee!mmoja wa mwisho alikua jirani yetu alikua anaitwa Mussa alichomwa moto mapinduzi pale sokoniMkongwe
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]yaani miss natafuta bwanaaKuna jamaa alinitongoza kumuuliza waishi wapi akasema mwananyamala
Nikamlima block
Bora aishi mbangala
Ni haki??[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]yaani miss natafuta bwanaa
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Hahahaha[emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]yaani miss natafuta bwanaa
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Namtafuta Ray C jamani, mwene connection take ani DMChimbo za Ray C, wazee wa mitungo
Namtafuta Ray C jamani, mwene connection take ani DM
Sinza ile mzeiaHivi Abajalo ilikuwa ni ya Mwananyamala pia?