Mbugi JF-Expert Member Joined Jan 7, 2011 Posts 1,488 Reaction score 258 May 1, 2013 #1 Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo; WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO" PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA
Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo; WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO" PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA
Determinantor Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 61,208 Reaction score 99,959 May 1, 2013 #2 Swaaafi but mkulu aliyasoma kweli?
bushman JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 2,412 Reaction score 747 May 1, 2013 #3 Kila mwaka mambo yaleyale!
Hakikwanza JF-Expert Member Joined Dec 11, 2010 Posts 4,043 Reaction score 1,012 May 1, 2013 #4 Elli said: Swaaafi but mkulu aliyasoma kweli? Click to expand... Najua ameyasoma ila atakuwa amewapuuza
Elli said: Swaaafi but mkulu aliyasoma kweli? Click to expand... Najua ameyasoma ila atakuwa amewapuuza
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,866 Reaction score 24,976 May 1, 2013 #5 Unadhani shida yake ni kusoma? Anajua kusoma hadi kichina. Kutenda! Elli said: Swaaafi but mkulu aliyasoma kweli? Click to expand...
Unadhani shida yake ni kusoma? Anajua kusoma hadi kichina. Kutenda! Elli said: Swaaafi but mkulu aliyasoma kweli? Click to expand...
master peace JF-Expert Member Joined Dec 19, 2012 Posts 1,450 Reaction score 444 May 1, 2013 #6 Siyo siri FUKAMA, imetulia sana.
Gosbertgoodluck JF-Expert Member Joined Mar 3, 2008 Posts 2,855 Reaction score 405 May 1, 2013 #7 Hakikwanza said: Najua ameyasoma ila atakuwa amewapuuza Click to expand... Kama kawaida yake.
Njanja Member Joined Apr 18, 2013 Posts 94 Reaction score 29 May 1, 2013 #8 Mbugi said: Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo; WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO" PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA Click to expand... Mei mosi ni siku ya wafanyakazi na ni haki yao kusema kwa namna yoyote kufikisha malalamiko yao...sioni cha ajabu hapa.
Mbugi said: Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo; WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO" PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA Click to expand... Mei mosi ni siku ya wafanyakazi na ni haki yao kusema kwa namna yoyote kufikisha malalamiko yao...sioni cha ajabu hapa.
CCM original JF-Expert Member Joined Apr 28, 2013 Posts 373 Reaction score 68 May 1, 2013 #9 King'asti said: Unadhani shida yake ni kusoma? Anajua kusoma hadi kichina. Kutenda! Click to expand... una hakika anajua kusoma kichina? Mbona unazungumza kimahaba ya chama zaidi kuliko hatma ya taifa?
King'asti said: Unadhani shida yake ni kusoma? Anajua kusoma hadi kichina. Kutenda! Click to expand... una hakika anajua kusoma kichina? Mbona unazungumza kimahaba ya chama zaidi kuliko hatma ya taifa?
Prince Tumbo JF-Expert Member Joined Apr 5, 2013 Posts 910 Reaction score 247 May 1, 2013 #10 Mbugi said: Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo; WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO" PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA Click to expand... hapakuwa na haja ya kuunda tume kuchunguza sababu za matokeo mabaya ya form 4...well done walim
Mbugi said: Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo; WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO" PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA Click to expand... hapakuwa na haja ya kuunda tume kuchunguza sababu za matokeo mabaya ya form 4...well done walim
P PRINCE MUSSAH New Member Joined Apr 24, 2013 Posts 4 Reaction score 1 May 1, 2013 #11 Haya hii ndio tz bwana
masatujr1985 JF-Expert Member Joined Oct 27, 2011 Posts 1,980 Reaction score 788 May 2, 2013 #12 Mbugi said: Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo; WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO" PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA Click to expand... Natumai itakuwa Ongeza Mishahara, Punguza Kodi ya Mapato (PAYE)
Mbugi said: Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo; WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO" PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA Click to expand... Natumai itakuwa Ongeza Mishahara, Punguza Kodi ya Mapato (PAYE)
Mtoboasiri JF-Expert Member Joined Aug 6, 2009 Posts 5,100 Reaction score 1,955 May 2, 2013 #13 CCM original said: una hakika anajua kusoma kichina? Mbona unazungumza kimahaba ya chama zaidi kuliko hatma ya taifa? Click to expand... Inawezekana anajua, but I would like to believe that was a joke! But on a serious note; kwako wewe maslahi ya kitaifa ni yepi???
CCM original said: una hakika anajua kusoma kichina? Mbona unazungumza kimahaba ya chama zaidi kuliko hatma ya taifa? Click to expand... Inawezekana anajua, but I would like to believe that was a joke! But on a serious note; kwako wewe maslahi ya kitaifa ni yepi???
chuki JF-Expert Member Joined Mar 10, 2011 Posts 2,715 Reaction score 534 May 2, 2013 #14 Maslahi ya Watumishi yaangaliwe upya.
G G. Activist JF-Expert Member Joined Nov 3, 2010 Posts 482 Reaction score 125 May 2, 2013 #15 Mbugi said: Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo; WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO" PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA Click to expand... Atakuwa amewapuuza tu, na kuona ni upepo tu nao utapita.
Mbugi said: Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo; WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO" PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA Click to expand... Atakuwa amewapuuza tu, na kuona ni upepo tu nao utapita.
Isaac JK JF-Expert Member Joined Feb 15, 2012 Posts 563 Reaction score 92 May 2, 2013 #16 Mbugi said: Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo; WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO" PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA Click to expand... walimu wasikilizwe otherwise watakuja ua watoto wetu
Mbugi said: Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo; WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO" PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA Click to expand... walimu wasikilizwe otherwise watakuja ua watoto wetu
OSOKONI JF-Expert Member Joined Oct 20, 2011 Posts 10,965 Reaction score 5,344 May 2, 2013 #17 Mgaya ameshawekwa sawa si umesikia Mkulu alivomfagilia kwa kumuita katibu mkuu mahiri, na kuisifu hotuba yake? sijui uchaguzi wa TUCTA lini tusafishe hivi virusi kwenye shirikisho letu!!
Mgaya ameshawekwa sawa si umesikia Mkulu alivomfagilia kwa kumuita katibu mkuu mahiri, na kuisifu hotuba yake? sijui uchaguzi wa TUCTA lini tusafishe hivi virusi kwenye shirikisho letu!!
L lumbo jet Member Joined Apr 26, 2013 Posts 9 Reaction score 0 May 2, 2013 #18 FUKAMA bango lilitia fora hili