Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Godbless Lema alifungiwa mwaka mzima wa kuhudhuria vikao vya bunge mwaka 2020 baada ya kushusha mashairi badala ya kujitetea pale alipoitwa na kamati ya bunge kumhoji juu ya kutoa kauli chafu kwa rais na kusababisha kushusha hadhi ya bunge.
Haya hapa ndiyo mashairi ya Lema.
Waheshimiwa wa kamati ya bunge mimi Godbless Lema nasema nilifanya, narudia tena nilifanya, mkinipa nafasi tena nafanya, na naomba mnichukulie hatua.
Baada ya mashairi hayo Lema alifungiwa mwaka mzima kuhudhuria vikao vya bunge na baada ya kushindwa uchaguzi alikimbilia Ulaya kwenda kulelewa kama mkimbizi yeye na familia yake.
Haya hapa ndiyo mashairi ya Lema.
Waheshimiwa wa kamati ya bunge mimi Godbless Lema nasema nilifanya, narudia tena nilifanya, mkinipa nafasi tena nafanya, na naomba mnichukulie hatua.
Baada ya mashairi hayo Lema alifungiwa mwaka mzima kuhudhuria vikao vya bunge na baada ya kushindwa uchaguzi alikimbilia Ulaya kwenda kulelewa kama mkimbizi yeye na familia yake.