Huku kujitia chizi kulitokea Belarus. Rais wao akasema kwakua huu ugonjwa ni mafua na mafua yanapona kwa mazoezi basi wananchi wapige mchaka mchaka, ligi hamna kusimama ili misuli ipashwe moto na vodka zinywewe kwa wingi. Hilo tangazo akalitoa Aprili 4 mwaka huu, Kilichofuata ITV? Kesi 6264 za corona within 16 days.
Hii njia ya kujifukiza mtaalamu Isaac Ndodi ndiyo alikua anapenda kuitaja kama tiba ya mafua alipoku na kipindi chake pale channel 10. Now if you think he is a credible nigga when it comes to health and stuff endelea kusoma. Nilikua nasoma na dada wa makamo akwa anahangaika kupata mimba, na mtaalamu Ndodi (ni mchungaji by the way) wapo kanisa moja.
So mdada akamuomba ushauri Ndodi, afanyaje ili apate mimba. Ndodi akamuambia "Hizo dawa za nywele jua likiwaka zinayeyuka majasho yenye kemikali yanasambaa mwili mzima, wewe hautakuja kupata mimba" mwaka baada ya utabiri wa Ndodi yule dada akapata mtoto wa kiume.