Vituko vipya vya Mwigulu huko Iramba.

Vituko vipya vya Mwigulu huko Iramba.

Status
Not open for further replies.

Concrete

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2011
Posts
3,605
Reaction score
551
Naibu Katibu mkuu wa CCM Tanzania bara, Mwigulu Nchemba amekuja na staili mpya ya kupambana na CHADEMA nchini baada ya mbinu zake kadhaa za awali kuelekea kugonga mwamba.

Siku ya juzi mkoani Singida, katika wilaya ya Iramba, Mwigulu Nchemba alifanya kituko kipya baada ya kuja na staili mpya ya kufanya siasa za kupambana na CHADEMA.

Timu ya Simba Fc kutoka Dar ilifika kucheza mechi ya kirafiki wilayani Iramba kwa mwaliko wa Mwigulu Nchemba na wakati huo huo zaidi ya Askari 100 kumwaga kwenye mkutano wa CHADEMA kwa 'amri' ya Mwigulu huku wakiwa na silaha nzito nzito kwa lengo la kujenga mazingira ya hofu kwa watu ili washindwe kufika na kumsikiliza Dr.Slaa ambaye alikuwa akihutubia mkutano wa CHADEMA unaohusu rasimu ya katiba mpya.
Pamoja na kuwepo kwa askari wengi kwenye mkutano huo wa CHADEMA, inasemekana bado kulikuwa na wananchi wengi waliofika kuhudhuria mkutano huo.

Pia inasemekana Mwigulu huenda akaendelea na staili hii mpya kama njia mbadala ya kupunguza nguvu ya Ushawishi wa CHADEMA ambao kufanya harakati zao zaidi kwa njia ya mikutano ya hadhara.
 
Naibu Katibu mkuu wa CCM Tanzania bara, Mwigulu Nchemba amekuja na stahili mpya ya kupambana na CHADEMA nchini baada ya mbinu zake kadhaa za awali kuekekea kugonga mwamba.

Siku ya juzi mkoani Singida, katika wilaya ya Iramba, Mwigulu Nchemba alifanya kituko kipya baada ya kuja na staili mpya ya kufanya siasa za kupambana na CHADEMA.

Timu ya Simba kutoka Dar ilifika kucheza mechi ya kirafiki wilayani Iramba kwa mwaliko wa Mwugulu na wakati huo huo zaidi ya Askari 100 kumwaga kwenye mkutano wa CHADEMA kwa 'amri' ya Mwigulu huku wakiwa na silaha nzito nzito kwa lengo la kujenga mazingira ya hofu kwa watu ili washindwe kufika na kumsikiliza Dr.Slaa ambaye alikuwa akihutubia mkutano wa CHADEMA unaohusu rasimu ya katiba mpya.
Pamoja na kuwepo kwa askari wengi kwenye mkutano wa CHADEMA, inasemekana bado kulikuwa na wananchi wengi waliofika kuhudhuria mkutano huo.

Pia inasemekana Mwigulu huenda akaendelea na staili hii mpya kama njia mbadala ya kupunguza nguvu ya Ushawishi wa CHADEMA katika kufanya harakati zao kwa njia ya mikutano.

Mkuu TanganyikaTANU wewe ni kati ya wanachama waaminifu wa CCM wenye hekima na heshima kubwa hapa Jamvini.
 
Last edited by a moderator:
Kuhakikisha analegea nikufanya mikutano mikubwa kila mwezi, iliawabebe simba kila mwezi kama anaweza nakuwaamuru

polisi kuendeleza uteja.
 
**MWONEKANO MAISHA BORA YA MTANZANIA CHADEMA IKISHIKA DOLA 2015**
Ni kweli ni bora chadema wachkue nchi ili maisha yawe rahis;

1.Asubuh kazin kwenda sa 4 na hakuna kuulizana ( KWA JINA LA HAKI ZA MFANYAKAZI)

2.Kuibiana wake inakua ni ''fair game'' coz mh rais ndo life style itakua iyo ( NDIO RAIS WETU SLAA MWONGOZO )

2.Majambaz watapata neema kwani hakuna kushikwa na polisi wala kubuguziwa. ( SIO HAKI KUKAMATAKAMATA RAIA)

3.Ukiamka asbh unakutana na kitita mlangon cha kufanyia maisha ya siku ( RASILIMALI NI NYINGI TUTALIPWA WOTE)

4.Wanafunzi looh,,mtian unakuja na maswali yako mwenywe il usifeli ( SERIKALI YA CCM ILIFELISHA SAANA)

5.Polisi wote likizo hamna kufanya kazI ( KUKAMATA KAMATA SIO HAKI)

6.Kila raia anakua usalama wa taifa kwan haina haja ya siri (HAWATIKIWI KUFICHWA LOLOTE NI HAKI KUJUA YOTE HATA IKULU LEO WAMEKULA NINI)

7.Bia,viroba sigara hakuna kutozwa kodi na serikali itaongezea cha juu kumpunguzia mlajI gharama Chadema mkombozi wa wananchi aja 2015 (KODI INAUMIZA SAANA WATANZANIA ACHENI WANYWE BURE)

8. WATU WAKIFANYA VURUGU KAMA MAANDAMANO WAZIRI MKUU WA WAKATI HUO MHESHIMIWA GODBLESS LEMA HATAAMLISHA WAKAMATWE ATASEMA SERIKALI IWAPE CHIPS KUKU NA CHODA KWANI SIO HAKI KUKAMATA WAANDAMANAJI

**********KILA LA HERI MAKAMANDA WA M4C*******
 
mbinu zote hizo zitasaidia nini.....iwapo ndani ya mawazo ya watanzania hawaitaki CCM....?...wananchi wanaweza wasiende kwenye mikutano.....lakini kwenye sanduku la kura wakafanya maajabu,,,,,,mfano mdogo tutoe pale viwanja vya Soweto(Arusha)....pamoja na mabomu na watu kufa.....wananchi wa ile kata walifanya nini katika uchaguzi....?.....wasitishie watu....waimarishe sera zao..........
 
**MWONEKANO MAISHA BORA YA MTANZANIA CHADEMA IKISHIKA DOLA 2015**
Ni kweli ni bora chadema wachkue nchi ili maisha yawe rahis;

1.Asubuh kazin kwenda sa 4 na hakuna kuulizana ( KWA JINA LA HAKI ZA MFANYAKAZI)

2.Kuibiana wake inakua ni ''fair game'' coz mh rais ndo life style itakua iyo ( NDIO RAIS WETU SLAA MWONGOZO )

2.Majambaz watapata neema kwani hakuna kushikwa na polisi wala kubuguziwa. ( SIO HAKI KUKAMATAKAMATA RAIA)

3.Ukiamka asbh unakutana na kitita mlangon cha kufanyia maisha ya siku ( RASILIMALI NI NYINGI TUTALIPWA WOTE)

4.Wanafunzi looh,,mtian unakuja na maswali yako mwenywe il usifeli ( SERIKALI YA CCM ILIFELISHA SAANA)

5.Polisi wote likizo hamna kufanya kazI ( KUKAMATA KAMATA SIO HAKI)

6.Kila raia anakua usalama wa taifa kwan haina haja ya siri (HAWATIKIWI KUFICHWA LOLOTE NI HAKI KUJUA YOTE HATA IKULU LEO WAMEKULA NINI)

7.Bia,viroba sigara hakuna kutozwa kodi na serikali itaongezea cha juu kumpunguzia mlajI gharama Chadema mkombozi wa wananchi aja 2015 (KODI INAUMIZA SAANA WATANZANIA ACHENI WANYWE BURE)

8. WATU WAKIFANYA VURUGU KAMA MAANDAMANO WAZIRI MKUU WA WAKATI HUO MHESHIMIWA GODBLESS LEMA HATAAMLISHA WAKAMATWE ATASEMA SERIKALI IWAPE CHIPS KUKU NA CHODA KWANI SIO HAKI KUKAMATA WAANDAMANAJI

**********KILA LA HERI MAKAMANDA WA M4C*******

Wakati ukuta.
 
Naibu Katibu mkuu wa CCM Tanzania bara, Mwigulu Nchemba amekuja na stahili mpya ya kupambana na CHADEMA nchini baada ya mbinu zake kadhaa za awali kuekekea kugonga mwamba.

Siku ya juzi mkoani Singida, katika wilaya ya Iramba, Mwigulu Nchemba alifanya kituko kipya baada ya kuja na staili mpya ya kufanya siasa za kupambana na CHADEMA.

Timu ya Simba kutoka Dar ilifika kucheza mechi ya kirafiki wilayani Iramba kwa mwaliko wa Mwugulu na wakati huo huo zaidi ya Askari 100 kumwaga kwenye mkutano wa CHADEMA kwa 'amri' ya Mwigulu huku wakiwa na silaha nzito nzito kwa lengo la kujenga mazingira ya hofu kwa watu ili washindwe kufika na kumsikiliza Dr.Slaa ambaye alikuwa akihutubia mkutano wa CHADEMA unaohusu rasimu ya katiba mpya.
Pamoja na kuwepo kwa askari wengi kwenye mkutano wa CHADEMA, inasemekana bado kulikuwa na wananchi wengi waliofika kuhudhuria mkutano huo.

Pia inasemekana Mwigulu huenda akaendelea na staili hii mpya kama njia mbadala ya kupunguza nguvu ya Ushawishi wa CHADEMA katika kufanya harakati zao kwa njia ya mikutano.
Mwigulu Nchemba anaelewa heshima kubwa aliyonayo Dr. Slaa, si ajabu aliamrisha askari wazidishe ulinzi kwenye mkutano wake!.
 
Last edited by a moderator:
NANI ANAANDIKA UHARO mavimavi HUNA LA KUFANYA shika jembe UKALIME UNAPUNGUZA HADHI YA JF! LOL
 
Naibu Katibu mkuu wa CCM Tanzania bara, Mwigulu Nchemba amekuja na stahili mpya ya kupambana na CHADEMA nchini baada ya mbinu zake kadhaa za awali kuekekea kugonga mwamba.

Siku ya juzi mkoani Singida, katika wilaya ya Iramba, Mwigulu Nchemba alifanya kituko kipya baada ya kuja na staili mpya ya kufanya siasa za kupambana na CHADEMA.

Timu ya Simba kutoka Dar ilifika kucheza mechi ya kirafiki wilayani Iramba kwa mwaliko wa Mwugulu na wakati huo huo zaidi ya Askari 100 kumwaga kwenye mkutano wa CHADEMA kwa 'amri' ya Mwigulu huku wakiwa na silaha nzito nzito kwa lengo la kujenga mazingira ya hofu kwa watu ili washindwe kufika na kumsikiliza Dr.Slaa ambaye alikuwa akihutubia mkutano wa CHADEMA unaohusu rasimu ya katiba mpya.
Pamoja na kuwepo kwa askari wengi kwenye mkutano wa CHADEMA, inasemekana bado kulikuwa na wananchi wengi waliofika kuhudhuria mkutano huo.

Pia inasemekana Mwigulu huenda akaendelea na staili hii mpya kama njia mbadala ya kupunguza nguvu ya Ushawishi wa CHADEMA katika kufanya harakati zao kwa njia ya mikutano.

mtaji mkubwa wa ccm ni wananchi ambao hawakitambu bado,ndio maana mtajiwao mkubwa uko vijijini.hii ya kuleta timu ya simba ni mbinu ya kuwahamisha umakini wale wasiojitambua ili wakashangae timu badala ya kushiriki katika mabo ya muhimu,.nadhani sasa unapata picha aina ya watu ambao ni mtaji wa ccm.mbaya zaid hata mwigulu mwenyewe alikuja hapa jamvini kujisia eti watu wengi walienda kwenye mpira na kuacha kumsikiliza dr slaa.eti hicho ni kitu cha kujisifia.
 
sio mbaya kwani hata kama alihuzuria mtu mmoja atafikisha ujumbe kwa watu million moja


Naibu Katibu mkuu wa CCM Tanzania bara, Mwigulu Nchemba amekuja na stahili mpya ya kupambana na CHADEMA nchini baada ya mbinu zake kadhaa za awali kuekekea kugonga mwamba.

Siku ya juzi mkoani Singida, katika wilaya ya Iramba, Mwigulu Nchemba alifanya kituko kipya baada ya kuja na staili mpya ya kufanya siasa za kupambana na CHADEMA.

Timu ya Simba kutoka Dar ilifika kucheza mechi ya kirafiki wilayani Iramba kwa mwaliko wa Mwugulu na wakati huo huo zaidi ya Askari 100 kumwaga kwenye mkutano wa CHADEMA kwa 'amri' ya Mwigulu huku wakiwa na silaha nzito nzito kwa lengo la kujenga mazingira ya hofu kwa watu ili washindwe kufika na kumsikiliza Dr.Slaa ambaye alikuwa akihutubia mkutano wa CHADEMA unaohusu rasimu ya katiba mpya.
Pamoja na kuwepo kwa askari wengi kwenye mkutano wa CHADEMA, inasemekana bado kulikuwa na wananchi wengi waliofika kuhudhuria mkutano huo.

Pia inasemekana Mwigulu huenda akaendelea na staili hii mpya kama njia mbadala ya kupunguza nguvu ya Ushawishi wa CHADEMA katika kufanya harakati zao kwa njia ya mikutano.
 
**MWONEKANO MAISHA BORA YA MTANZANIA CHADEMA IKISHIKA DOLA 2015**
Ni kweli ni bora chadema wachkue nchi ili maisha yawe rahis;

1.Asubuh kazin kwenda sa 4 na hakuna kuulizana ( KWA JINA LA HAKI ZA MFANYAKAZI)

2.Kuibiana wake inakua ni ''fair game'' coz mh rais ndo life style itakua iyo ( NDIO RAIS WETU SLAA MWONGOZO )

2.Majambaz watapata neema kwani hakuna kushikwa na polisi wala kubuguziwa. ( SIO HAKI KUKAMATAKAMATA RAIA)

3.Ukiamka asbh unakutana na kitita mlangon cha kufanyia maisha ya siku ( RASILIMALI NI NYINGI TUTALIPWA WOTE)

4.Wanafunzi looh,,mtian unakuja na maswali yako mwenywe il usifeli ( SERIKALI YA CCM ILIFELISHA SAANA)

5.Polisi wote likizo hamna kufanya kazI ( KUKAMATA KAMATA SIO HAKI)

6.Kila raia anakua usalama wa taifa kwan haina haja ya siri (HAWATIKIWI KUFICHWA LOLOTE NI HAKI KUJUA YOTE HATA IKULU LEO WAMEKULA NINI)

7.Bia,viroba sigara hakuna kutozwa kodi na serikali itaongezea cha juu kumpunguzia mlajI gharama Chadema mkombozi wa wananchi aja 2015 (KODI INAUMIZA SAANA WATANZANIA ACHENI WANYWE BURE)

8. WATU WAKIFANYA VURUGU KAMA MAANDAMANO WAZIRI MKUU WA WAKATI HUO MHESHIMIWA GODBLESS LEMA HATAAMLISHA WAKAMATWE ATASEMA SERIKALI IWAPE CHIPS KUKU NA CHODA KWANI SIO HAKI KUKAMATA WAANDAMANAJI

**********KILA LA HERI MAKAMANDA WA M4C*******
Umejipinda na kupoteza muda kuandkia upuuzi kwa nini usifanye kitu kingine kuliko kuuvua ubongo wako hadharani.
 
Asisahau kuzibeba pia timu za Yanga na Azam FC... Tukimaliza kupata nondo za elimu ya uraia then tunaenda kuangalia mpira...
 
Naibu Katibu mkuu wa CCM Tanzania bara, Mwigulu Nchemba amekuja na stahili mpya ya kupambana na CHADEMA nchini baada ya mbinu zake kadhaa za awali kuekekea kugonga mwamba.

Siku ya juzi mkoani Singida, katika wilaya ya Iramba, Mwigulu Nchemba alifanya kituko kipya baada ya kuja na staili mpya ya kufanya siasa za kupambana na CHADEMA.

Timu ya Simba kutoka Dar ilifika kucheza mechi ya kirafiki wilayani Iramba kwa mwaliko wa Mwugulu na wakati huo huo zaidi ya Askari 100 kumwaga kwenye mkutano wa CHADEMA kwa 'amri' ya Mwigulu huku wakiwa na silaha nzito nzito kwa lengo la kujenga mazingira ya hofu kwa watu ili washindwe kufika na kumsikiliza Dr.Slaa ambaye alikuwa akihutubia mkutano wa CHADEMA unaohusu rasimu ya katiba mpya.
Pamoja na kuwepo kwa askari wengi kwenye mkutano wa CHADEMA, inasemekana bado kulikuwa na wananchi wengi waliofika kuhudhuria mkutano huo.

Pia inasemekana Mwigulu huenda akaendelea na staili hii mpya kama njia mbadala ya kupunguza nguvu ya Ushawishi wa CHADEMA katika kufanya harakati zao kwa njia ya mikutano.

hakuna mapambano hapo mmefanya uchaguzi juzijuzi tuu mmeambulia patupu
 
Hivi mbona mnapenda kuwatukana askar hata kwsa yale ambayo hawahusiki? Si sheria inawaagiza kulinda mikutano na mikusanyiko halali? Hiviîngekuwaje iwapo wangegoma kutoa huduma ya ulinzi? Halafu kejeli hizo mmesahau kama ndo zilimgharim j.k 2010 alipowa watishia waalim? Hiv mmesahau kuwa hata kura za àskari znahitajika kupata ushind mnono? Hivi mmesahau kuwa vyombo vya ulinzi walipiga kura za kutosha kwa wanamapinduzi?
Nimesikitishwa na wenje kuwasema polisi ni mbwa wkt ndo waliofanikisha ubunge wake.
 
[h=5]Na hapo chini ni facebook page ya mh Mbunge wa Iramba

"ONYO KALI KWA JESCA KISHOA(CHADEMA) KUNITUKANA JIMBONI KWANGU IWE MWANZO NA MWISHO.

Ndugu,
Jesca Kishoa,Nimepata habari na mkanda mzima wa mikutano yako ya kufungua matawi ya CHADEMA wilaya ya Iramba.
Umetumia siku nzima kunitukana,kunizushia na kuwazuia wananchi wangu kushiriki shughuli za maendeleo ya wilaya yao.
Sijajua kama ulitumwa kuja kunitukana ama ni Utashi wako.
Ninachotaka kukushauri usimfuate tena mamba kwenye kina kirefu cha maji.Hata wakubwa wako wote,chama kizima huu mziki ulishawashinda na bado wanahangaika nao kila siku bila mafanikio na katu hawata fanikiwa.!

Nimeona nikushauri tu kuwa unaweza kufungua matawi ya chama chako kila kitongoji au kila mtaa lakini usirudie matusi kwangu na wala usirudie kuwashawishi wananchi wangu washishiriki shughuli za maendeleo kwa jina la kuwafundisha Elimu ya uraia.
Wilaya ya Iramba tumejenga maabara shule zote za kata(Boma za maabara) wewe hutaki kushiriki.
Tumefungua miradi ya maji kadhaa na mingine ipo kwenye hatua za mwisho katika vijiji na kata mbalimbali!
Tumejenga barabara za kuunganisha Wilaya ya Iramba yote iweze kupitika wakati wa masika na kiangazi!

Tumejenga zahanati,tunaongoza kwa mwaka wa pili mfululizo kwa huduma safi za Afya!
Tunafanya jitihada kuinua michezo ndani ya wilaya yetu,

Tumezungusha umeme wilaya ya Iramba na sasa tunapeleka umeme vijiji vyote vya Iramba.
Hivi CHADEMA mkoje,bila shaka hamna wazo mbala kwa maendeleo ya Wanairamba na Taifa hili mnaishia kutukana?

Wambie na waliokutuma msifungue matawi tu,jengeni makao makuu ya CHADEMA Kiomboi halafu tukutane kwenye uchaguzi.
Ukipata hata nusu ya kura zangu nitaandika barua kwenda tume wakutangaze Mbunge.
Look at You YoungLady>>>>UNAPOTEZA MUDA WAKO,UNAPOTEZA NGUVU NA UWEZO WAKO WA KUFIKIRI KWA KAZI HII YA KUNITUKANA,HUNA LA KUFANYA?UNAWINDA TEMBO KWA MANATI?

Nimekuonya kwaajili ya Matusi yako hayo.
TUTAHESHIMIANA"[/h]
 
Hivi mbona mnapenda kuwatukana askar hata kwsa yale ambayo hawahusiki? Si sheria inawaagiza kulinda mikutano na mikusanyiko halali? Hiviîngekuwaje iwapo wangegoma kutoa huduma ya ulinzi? Halafu kejeli hizo mmesahau kama ndo zilimgharim j.k 2010 alipowa watishia waalim? Hiv mmesahau kuwa hata kura za àskari znahitajika kupata ushind mnono? Hivi mmesahau kuwa vyombo vya ulinzi walipiga kura za kutosha kwa wanamapinduzi?
Nimesikitishwa na wenje kuwasema polisi ni mbwa wkt ndo waliofanikisha ubunge wake.
 
**MWONEKANO MAISHA BORA YA MTANZANIA CHADEMA IKISHIKA DOLA 2015**
Ni kweli ni bora chadema wachkue nchi ili maisha yawe rahis;

1.Asubuh kazin kwenda sa 4 na hakuna kuulizana ( KWA JINA LA HAKI ZA MFANYAKAZI)

2.Kuibiana wake inakua ni ''fair game'' coz mh rais ndo life style itakua iyo ( NDIO RAIS WETU SLAA MWONGOZO )

2.Majambaz watapata neema kwani hakuna kushikwa na polisi wala kubuguziwa. ( SIO HAKI KUKAMATAKAMATA RAIA)

3.Ukiamka asbh unakutana na kitita mlangon cha kufanyia maisha ya siku ( RASILIMALI NI NYINGI TUTALIPWA WOTE)

4.Wanafunzi looh,,mtian unakuja na maswali yako mwenywe il usifeli ( SERIKALI YA CCM ILIFELISHA SAANA)

5.Polisi wote likizo hamna kufanya kazI ( KUKAMATA KAMATA SIO HAKI)

6.Kila raia anakua usalama wa taifa kwan haina haja ya siri (HAWATIKIWI KUFICHWA LOLOTE NI HAKI KUJUA YOTE HATA IKULU LEO WAMEKULA NINI)

7.Bia,viroba sigara hakuna kutozwa kodi na serikali itaongezea cha juu kumpunguzia mlajI gharama Chadema mkombozi wa wananchi aja 2015 (KODI INAUMIZA SAANA WATANZANIA ACHENI WANYWE BURE)

8. WATU WAKIFANYA VURUGU KAMA MAANDAMANO WAZIRI MKUU WA WAKATI HUO MHESHIMIWA GODBLESS LEMA HATAAMLISHA WAKAMATWE ATASEMA SERIKALI IWAPE CHIPS KUKU NA CHODA KWANI SIO HAKI KUKAMATA WAANDAMANAJI

**********KILA LA HERI MAKAMANDA WA M4C*******
Pumba tupu!
 
Hivi mbona mnapenda kuwatukana askar hata kwsa yale ambayo hawahusiki? Si sheria inawaagiza kulinda mikutano na mikusanyiko halali? Hiviîngekuwaje iwapo wangegoma kutoa huduma ya ulinzi? Halafu kejeli hizo mmesahau kama ndo zilimgharim j.k 2010 alipowa watishia waalim? Hiv mmesahau kuwa hata kura za àskari znahitajika kupata ushind mnono? Hivi mmesahau kuwa vyombo vya ulinzi walipiga kura za kutosha kwa wanamapinduzi?
Nimesikitishwa na wenje kuwasema polisi ni mbwa wkt ndo waliofanikisha ubunge wake.
Heri anayewalaumu kuliko kuwaua. Takwimu zinasema miezi 6 iliyopita polisi nane wameuawa na raia. Kibaya zaidi mkoa wenu umeongoza.
 
Wengine tukisikia neno Mwigulu tunasikia kichefuchefu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom