Vituko ndani ya JamiiForums

Kituko kimoja ambacho kiliniacha hoi ni cha member mmoja kusema kuwa hawez kupanda daladala, wakati anapoishi hata gari haliwezi kuingia
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kituko kimoja ambacho kiliniacha hoi ni cha member mmoja kusema kuwa hawez kupanda daladala, wakati anapoishi hata gari haliwezi kuingia
Ndio maana tunakataa kutumia majina yetu halisi, maana unaweza kuleta mbwembwe halafu watu wanakuchora tu kwenu nyumba ya udongo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…