Kamwe usifanye jambo ambalo unajua litakuumiza; na huna cha kufanya isipokuwa kumwachia Mungu
Sasa kafa. Then what? π³π³π³
Mama E hata aniachie simu mwezi mzima na bila password kamwe sitaanza kufukunyua labda kama nimemchoka na niko tayari kuachana naye. Haya mambo hayako siriazi kihivyo jamani!