Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kamwe usifanye jambo ambalo unajua litakuumiza; na huna cha kufanya isipokuwa kumwachia Mungu

Sasa kafa. Then what? 😳😳😳

Mama E hata aniachie simu mwezi mzima na bila password kamwe sitaanza kufukunyua labda kama nimemchoka na niko tayari kuachana naye. Haya mambo hayako siriazi kihivyo jamani!
 


Give it caption

Jirani: Oyaaa huyuni jirani yangu wa karibu sana, namteki kea kila anapoenda, usalama wake juu yangu.
Wee tulia dogoo...

Dogo: sawa mkuu natambua ujirani wenu, nilikuwa namsabahi tuu bibie...πŸ™‚

Bibie: Jamani hebu tutulie tupate picha nzuri ya ukumbusho, watakuwa hawatualiki siku nyingine πŸ˜€
 


Dogo: Bibie mwambie braza asimaindi....
Ilikuwa salamu tuu daah....πŸ˜ƒ

Bibie: Bado husikii, shauriyako...
Ngoja zoezi la picha liishe, ukidundwa usiniite mie...😁.

Unamuona wa pembeni yake ana P.O.P.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…