Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nilipitia Group moja la wahenga, nikakuta mwanachama mmoja ameandika hivi:

"Kiwanja cha ndege Dar es salaam Terminal 1 mnamo miaka ya 1950. Wakati huo Tanzania bado ikiitwa Tanganyika.
Kiwanja hiki kilijengwa na Muingereza ambaye hakutaka kabisa kuendelea kutumia kile kiwanja cha ndege kilichojengwa na Mjerumani kule maeneo ya Kurasini, yaani lile eneo zima la JKT Mgulani, Jeshi la Wokovu, Temeke Wailesi, Uwanja wa Taifa mpaka pale mtoni kwa Azizi Ally"

Credit:
Group la wahenga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…