Hizi noti sita zisshau siku nilichapwa na raia wema kisa kumdanganya bibi kua shilingi 50 ni 200!
Bibi alikua haoni, sasa huko alikoenda kununua kitu hela haitoshi, niliangushiwa msala sijasahau mpaka leoView attachment 2795249View attachment 2795250
Mwenyewe nilishawahi kuwa na pisi ya Kichaga iliyofungasha hatari labda kukuzidi hata wewe..so najua πππππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ