MARIA LETIZIA RAMOLINO ...mwanamke aliyezaa WAFALME 4 Wa nchi tofauti.....dunia inamtambua kama MAMA WA WATUKUFU
Maria Letizia Ramolini alizaliwa tar 24/8/1750 huko Corsica, katika Jamhuri ya Genoa
Aliolewa akiwa na miaka 13 huku mume wake akiwa na miaka 17.. ...mume wake aliitwa Carlo Buonaparte
Maria Letizia Ramolino alijifungua watoto 13 na kati ya hao 5 walifariki wakiwa wadogo kabisa na 8 ndio walikuwa wakubwa....na katika hao watoto 8 watoto wake 5 walifanikiwa kuwa wafalme nao ni
NAPOLEON BUONAPARTE (alikuwa mfalme wa ufaransa)
JEROME (alikuwa mfalme wa westphalia ambayo kwa sasa ni kaskazini mashariki mwa ujerumani)
LUIS (alikuwa mfalme wa uholanzi)
JOSEPH (alikuwa mfalme wa naples na akawa mfalme wa uhispania)
Shida sio vodacom, shida ni wateja wao, unajua zile msg za ovyo wanazisomaga! Na ndivyo wanavyowachukulia wateja hivyo hivyo. Utakuwa umenielewa mjingamimi