Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nilianza kusoma kabla sijaangalia jina nikajua huyu atakuwa fulani.. Sijui nikoje?

Haafu nakuonda mia weshu

Sent using Jamii Forums mobile app

Weshuuu, aahahahahaa

Bado natafakari kwanini uliibuka na lile jina na si jingine....
Kumbe kweli kilinge kinafanya kazi, ona hadi sasa umetambua ni nani bila kuangalia jina....

Titete, niume sikio.....
 
Yaliyomo yamo...!


MWAKA HUU lazima ule ugari bila MAJI wala Soda.... Sipendi uchokozi mimi, Na kwa taarifa yako UKIENDELEA naharibu project zako zinazoendelea mbezi Beach Maeneo ya NYUMBA ya kakobe kwa chini karibu na sheli ya GBP. Charting zako napitia endelea sasa..... Kila mtu afanye kazi yake... Umenikuta kwenye system fanya majukumu yako. Fullstop


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…