Vituko mitandaoni. Tupia chako

Huo ndio ukweli wenyewe....forget the pretenders....oh mie mbususu yangu nampa mume wangu tuu...uwongo mtupu
 
Habari za leo wadau wa Tasnia ya kuku. Nimeona picha ya mayai mengi inazunguka kwenye mitandao ya kijamii.
Maelezo ya picha hiyo yanasema kwamba mayai hayo yametengenezwa na kiwanda cha wachina kilichopo Goba, Ubungo, DSM.

Naomba kusisitiza kuwa taarifa hizo sio za kweli na watu wabaya wametengeneza kwa nia ovu ya kupotosha jamii na kuharibu Tasnia ya kuku nchini ambayo inakua kwa kasi. Goba iko katika Manispaa ya Ubungo, hakuna kitu kama hicho. Tumefuatilia DSM yote hakuna taarifa kama hizi. Tumekuja kugundua kwamba picha hiyo ilipigwa nchini Indonesia kati ya mwaka 2016 na 2017. Mtu mbaya ameipakua picha hiyo kwenye internet na kuiwekea hayo maneno na kuanza kuisambaza kwenye groups za mitandao ya kijamii. Nawaomba tuzipuuze taarifa hizo na Serikali inalifanyia kazi jambo hili. Niwaombe ndugu zangu tusiendelee kusambaza taarifa hizi za kupotosha.
Ahsanteni sana
Hezron Nonga - Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo
Your browser is not able to display this video.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
, mbona tupo bhana tena tunasuka bure kabisa twende kilioni/na misuko kwa nywele natural
,

Kwahiyo baba wa Taifa nae alikuwa ni kiwembe
Kama bado mnasuka twende kilioni hongereni sana.......πŸ€—

Mwanaume huwa hawi kiwembe, ila anakuwa anaongeza Ukubwa wa Boma πŸ€ͺπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…