Pole sana...Mzee wako apumzike salama. Na kwa vile we ni atheist hakuna hata matumaini ya kukutana naye tena
Hata mimi classmates wangu wanadondoka kama mchwa. Mpaka inatisha yaani japo kwa sisi wazee BP ni kawaida na inategemewa. Kuna trend sasa kwa wanaume hata kabla hawajagonga 40 huyoo acute hypertension mtu mnaongea leo kesho unasikia amezima tu ghafla kisa BP. Hata sijui tatizo ni nini. Juhudi za makusudi zinahitajika aisee. Na inabidi tubadili mfumo wetu wa maisha