Chemsha maji yachemke vizuri halafu utiemo kwa dakika mbili tatu hivi huku yakiendelea kuchemka tayari unakuwa sanitized. Nikanunue mwingine nimerogwa? π
Chemsha maji yachemke vizuri halafu utiemo kwa dakika mbili tatu hivi huku yakiendelea kuchemka tayari unakuwa sanitized. Nikanunue mwingine nimerogwa? π
Mi naona kama huyu Jamaa anaitwa Mshana amechanganyikiwa, anapost vitu visivyo eleweka vikaragosi na ni tofauti na maudhui ya uzi, sijui tatizo nini. Hata kama uzi aliuanzisha yeye lakn amekengeuka na ana matatizo
Mi naona kama huyu Jamaa anaitwa Mshana amechanganyikiwa, anapost vitu visivyo eleweka vikaragosi na ni tofauti na maudhui ya uzi, sijui tatizo nini. Hata kama uzi aliuanzisha yeye lakn amekengeuka na ana matatizo