Vituko mitandaoni. Tupia chako

Apambana na Simba mpaka kumuua.
Msambaa mmoja kutoka huko kijiji Cha Langoni huko Mnazi Lushoto Tanga amepambana na Simba huyu Dume na kumuua nani baada ya Simba huyu Dume kuvamia makazi yake huko Guma na kuanza kushambulia zizi lake la Mifugo.
Mpe neno huyu mwamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi tunaochemsha nyama na kuweka kwenye friji je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…