Binafsi huwa sinaga hiyo "u-male bestie" na kuliko msichana ani friend zone ni heri urafiki ufe. If we are not banging we ain't friends. Ndio maana hata list yangu ya marafiki, wanawake wapo wachache sana
Ndiyo maana ukiona mwanamke ana msururu wa male bestie shtuka. Lazima watakuwepo watakaokuwa wanamla. Hakuna urafiki wa hivi hivi kati ya mwnaamke na mwanaume. Hakuna!
Kama poor katoa wapi mahela yote hayo au 'poor' inayoongelewa hapo ni tofauti na ile ninayoijua mimi. Maana mimi hapa nikijiangalia kuanzia chini mpaka juu (jumlisha na pochi) sijafikia kwenye shati tu la huyo rich
Ni mambele huko nadhani. Unaona Mark Zuckerberg au Steve Jobs na tisheti yake ile ile kila siku lakini sasa muone mfanyakazi wa McDonald's pamba alizovaa. Na kila toleo la iPhone lazima anunue. Kumbe ananunua kwa kutumia credit card....