Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 123, Theresia Nyirakajumba, kutoka Nchini Rwanda, amesema toka azaliwe hajawahi kuguswa na mwanaume yeyote, na sasa yupo na tumaini kuwa atampata mwanaume sahihi na ambaye atakuwa tayari kuwa naye maishani.

Ni kweli kuwa kwa sasa wanawake wenye bikra wanahesabika? Kwanini?

#MamaMia ipo hewani muda huu mpaka saa 6:00 mchana.

#MamaMia #BonyezaLink #EastAfricaRadio

Hui ni ugonjwa sio sifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…