I bet kuna wanaume watatamani kuwa mkonga wa Tembo...π
π
π
Ila huyi Tembo anajua utalii aseeh.....!!!
Dada nae anauthubutu....
Hata kumpanda mgongoni sithuhutu, sembuse nipakatwe na mkonga wake tuu....π€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺ
Kuna watu walisema, waacheni wanyama waishi maisha yao.....ππ