Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ukweli mchungu....πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ

"Sina muda wa kukaa naku-assure kuwa uko peke yako ama la! I have a life to live......

Hiyo kauli ya dharau ilitolewa na pisi moja yenye dharau kwenda kwa boya mmoja aliyekuwa desperate kupata mke wa ndoto zake....tangu hapo mapenzi yao ni mwendo wa kusua sua.....😁😁😁

 
Miaka 45 bila mtoto na bado umekomaa tu na Bulaya wako 😳😳😳

View attachment 2637839


Hivi wanawake wa hivi inamaana wanaume hawajawahi kumfikisha kabisa, au hawajajua G spoti yake ilipo....πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Sababu pale mahala mtu akipapata akapa aparakata tumba, huwezi waza kusaga sembe wakati kuna mchi unatwanga unapata dona safiii...πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Kutokuwa na mtoto ni issue nyingine, kuwa singo ni habari nyingine ila kuchakatwa na ukuni imara ni sehemu ya maisha ya mwanamke 😊.

Eeeh nimesahau, hivi mada inasema besdei yake anafanyia wapi...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜πŸ˜πŸ˜.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…