Vituko mitandaoni. Tupia chako

"Wakati nipo Juu kimuziki Zama zile nilikuwa nikiamka Asubuhi nabeba Hela kwenye Mfuko wa Rambo nakwenda Chuoni kwa kina Sinta pale DSJ namchukua yeye na marafiki zake Naenda kuwanunulia Wote Kuku, hiyo ndio ilikuwa Ni ratiba ya kila Siku" - Juma Nature.

KIKO WAPI SASA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…