Vituko mitandaoni. Tupia chako

Sema tu app hainaga dislike ningekuongeza nyingine...kama unakataa ndoa piga punyeto achana na mabinti zetu
Hamna mkuu sio hivyo tukizalisha tunahudumia ila ndoa za kanisani na mikataba humo hatumo aseee

Hatuwapi mimba na kuwakimbia hapana watoto tunalea pia sema ndo hivyo viapo vile vya kanisani tunavikwepa 😁😁😁😁😁😁😁😁 in hakimis voice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…