Mimi sijabahatika kufungua njia ya uzima.....siko mjanja kivile nadhani...na body count yangu ni ndogo sana. Na sasa nshazeeka so sitegemei kukutana na hiyo bahati tena!
Yaani kuna mtu kanikera na simu ya chefuuu sijui hata kwanini niliipokea katikati ya usingizi.....
Kakatisha usingizi wangu kila nikijaribu kulala naona nawaza tuu namna ya kumjibu...
Nikasema wacha niingie JF kwanza nitabasamu halafu nirudi kumalizia usingizi wangu.
Oooh pole shimba by the way sio pole kama vile umekoosaaa, sijui kwa ME wanapata raha gani ila kwa mie niliona kero tuu kutolewa utando mwekundu, sikufurahia hadi nilipoacha kubana miguu...π π π
Utoto una raha yake eehehehe.
Hivi PM bado ipo, nna miaka 2 hivi sijaingia kule...π .
Aahahahhaaa kweli kabisa, yeye alikjwa 1st born ila alikuwa anapendwa sana na mama na baba sababu alikjwa na adabu na akili.
Wazazi wake walijivunia yeye na walikuwa wanamwambia, hivyo amekua anajiona ni wa kiwango flani kwenye nyanja mbalimbali.
Mimi sio last born ila ni mtu wa msimamo, nikipanga kitu changu na nikishafanya maamuzi kunighairisha inabidi utumie mbwinu kabambe.