Ndiyo maana mimi huwa siamini hii miujiza. Mara ooh aliyekufa miaka 7 iliyopita kafufuka. Ukiuliza ni kweli alikuwa amekufa. Kuna cheti chake cha kifo? Nani alithibitisha?
Oooh inasemekana alifia kwenye machimbo Mwadui. Kuna watu waliomzika. Kamba tupu!
Hata hii miujiza mingi ya mitume na manabii. Kamwe huwezi kukuta kiwete waliyemfanya akatupa magongo kuwa ni wa hapo mtaani mnayemfahamu. Always ni watu wa mbali na magongo yao mapyaaaa!