Vituko mitandaoni. Tupia chako

Waseme mwanza nataka nika appeal
Jukwaa ni la jokes
Why umjoke mtu na bado tu wakuniniu
Mimi ndo nilikuchongea kwa mods


Kuna jukwaa mi kumbe nilishalimwa ban ya maisha bila kutambua wala kuambiwa maana nilishaacha kulitembelea sana. Ila kuna mod mwelewa akanifungulia lakini nikaonywa kuwa nikikosea tu ananila kichwa permanently! Yaani...
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒ walikulipa nn?

Ulifanyaje? Itakuwa ni yutong zako tu.
Hilo jukwaa kuna uzi walinipa ban ya week 6. Sijazimaliza wakaunga ya jukwaa zima πŸ˜‚ sijakaa sawa wakaunga ya jf nzima.

Ah sahivi nirudi kuwa wa zamani
Mtu akimess up, me nalog out. Maana ukiendelea kuwepo hapo utajikuta umemjibu. Na hapo hapo kina SYB wanakureport kimya kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…