Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kama ni China atatoboa maana tabia zake zile ndiyo zimewafikisha pale walipo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Leo kuna limvua hapa Dar Mkinga...

Na kibaridi....
Hicho kibaridi mimi naamka nacho kila siku na hakuna siku ulinihurumia[emoji16][emoji16] pambana na hali yako
 
Bahati mbaya hukuumia? [emoji848][emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…