Sitasahau siku nilipoiba baisikeli Swala mpya kabisa tena ya mgeni nikaenda nayo mjini. Ile navuka tu barabara ya kwanza pikipiki ikaja full force ikanigonga. Bahati mbaya mi sikuumia ila baisikeli ikawa haibebeki....
Kama kuna siku niliyopata kasheshe na kuijua dunia ilivyo ni siku hiyo. Halafu ndo kwanza niko darasa la 4 dah!View attachment 2557818