Nilikula kibano cha hatari na nilikua sijawahi vuta bangi! Ila baada ya pale nilianza kupuliza maana nilijisikia hasira kupata adhabu kwa kitu ambacho sijafanya hivyo nikashawishika kirahisi kuijaribu ili nijue inakatazwa kwa sababu gani!!? Na hapo ndipo gari ikawaka jumla