Tutenge muda wa kukaa na watoto wetu,ukaribu ni muhimu bila hivyo lazima watasema tu maana nyumbani huonekani mbaya zaidi wakifanya makosa wanaambiwa ngoja baba aje,kwahio wewe unaonekana gaidi Fulani hivi hapo home
Tutenge muda wa kukaa na watoto wetu,ukaribu ni muhimu bila hivyo lazima watasema tu maana nyumbani huonekani mbaya zaidi wakifanya makosa wanaambiwa ngoja baba aje,kwahio wewe unaonekana gaidi Fulani hivi hapo home