Vituko mitandaoni. Tupia chako

😂😂 mbona sasa sheeeeda?

Kwanza kabisa mimi kula sana uwa siwezi, sasa ukiniwekea msosi mwingi afu nisile sana ndio uone nina madharau si vibaya hivyo? Mnakuwa mnamkomesha mgeni.
 
mbona sasa sheeeeda?

Kwanza kabisa mimi kula sana uwa siwezi, sasa ukiniwekea msosi mwingi afu nisile sana ndio uone nina madharau si vibaya hivyo? Mnakuwa mnamkomesha mgeni.
Siyo kumkomoa mgeni. Tunajulikana kwa ukarimu wetu hasa kwenye ishu za misosi.

Na usipokula basi maana yake safari nyingine afadhali usije maana hatutakuwa na msaada wo wote kwako!

Muulize shoga yako atakuelezea sema naye mtoto wa kishua sina uhakika hata kama anajua cho chote kuhusu hizi protokali za kimila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…