Vituko mitandaoni. Tupia chako

We nawe. Kwa nini unaagiza mavyakula ambayo huyajui?

Unaagiza unachokipenda halafu hicho kipya unakijaribu bites tu from his plate...na ukikipenda safari nyingine ndo unakiagiza ili kumfurahisha.

Ulipofika home ilibidi ukajipikilishe tena ama? 😁
 
Injera. Nikienda Ethiopian restaurant nitaijaribu
 
Katika kupenda na kutamani mambo mapya 😂

Ndio, nisingeweza lala vile 😁
Nikapikilisha tumayai nikalala
 
Kwahiyo tuwe tunauliza
Ni dinner date or coffee date 🤣




Cc Lenie njoo ukopi ujuzi, ndio usijeonekana food monga
 
Kwahiyo tuwe tunauliza
Ni dinner date or coffee date





Cc Lenie njoo ukopi ujuzi, ndio usijeonekana food monga
Mwanaume mstaarabu na mwenye exposure atakuambia kama ni coffee date ama vinginevyo. Coffee date hata uvaaji wake ni tofauti na date ya kweli.

Kama hajasema kama ni coffee date aisee we agiza hata mbuzi mzima ufaudu.
 
Mwanaume mstaarabu na mwenye exposure atakuambia kama ni coffee date ama vinginevyo. Coffee date hata uvaaji wake ni tofauti na date ya kweli.

Kama hajasema kama ni coffee date aisee we agiza hata mbuzi mzima ufaudu.
Mbona somo linazidi kuwa pana 🤣
Ila kuna memes nilionaga skin jeans sio nguo ya mtoko 😂
Kwahiyo? Dah 😂😂
 
Nishafeli bila serengeti lite bariidi na kanyama ka mbuzi kakushushia 😬😬😬😬😬
 
Hadi jina ukalikariri jinsi gani msosi ulikua huzuni kwako😂

Kujaribu menu mpya ni nzuri ila very risky😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…