Vituko mitandaoni. Tupia chako

Breaking News: Taliban walitoa uamuzi mpya katika jimbo la Balkh, Afghanistan, wakisema kuwa wanawake hawaruhusiwi kuwatembelea madaktari wa kiume !!

Na, hakuna elimu kwa wanawake pia, kwa hivyo hakuna madaktari wa kike pia !!

IMANI INAPOKUWA MZIGO MZITO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…