Vituko mitandaoni. Tupia chako

mmenikumbusha mimi kuna siku niliweka hela tena ilikuwepo hapo na hela ya kodi. Kumbe hiyo sehemu niliyoweka panya kapita akabebea noti zote nyuma ya kabati.... Nakumbuka ilikuwa pasaka ile mwenyewe niende buchani nikanunue ka-robo naangalia hela nilipoweka hamna, nilidata aisee...nililiaaa kama nina msiba. Baadae katika kusogeza sogeza vitu naona noti imetokeza kidogo kusukuma kabati naona noti zote zimerundikwa huko.
 
hakuzichana chana kama kawaida yao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…