Hata kwa maneno tu hawezi kuwakemea sembuse matendo....
Alipaswa kuonyesha ukali hata kama ni wa maneno tu sisi wananzengo tukajua kuwa yuko siriazi. Sasa hizi kauli za mara wale kulingana na urefu wa kamba. Mara wafujaji fujeni tu dah! Inaonekana kama vile kabariki japo naamini sivyo....Washauri na PR wabovu....
View attachment 2455486