Kuna movie Fulani hivi ilitoka 2010 siikumbuki jina ila ilikuwa inaonyesha watu (vijana) walikwenda kula BATA baharini wakati wanakunywa bia moja ya chumba ambayo haijafunguliwa ilitumbukia kwenye bahari na Kwa bahati mbaya baada Tu ya kutumbukia ilipasuka hivyo kupelekea kupasuka kwa miamba chini ya bahari na matokeo yake kutoka aina moja wapo ya samaki wanao onekana hapo... Na walianza kuwashambulia na kuwala watu wote walio ndani ya maji
Ni nani ana hizi imagination za hawa viumbe wa ajabu ajabu, nikiangalia horror movie zinaelezea kuhusu zombies na madude ya ajabu ajabu...