Vituko mitandaoni. Tupia chako

"Nilikuwa naamini kabisa kwamba, Said Mbelwa nitampiga kwa mambo matatu cha kwanza mgonjwa, cha pili ni mzee na cha tatu ni mlevi"

"Na ndicho kimechotokea, amekutana na ‘NDOIGE' nimepiga tu chali na hiyo ndio maana ya ngumi yangu pia Bondia yoyote atakaye yakanyaga atakutana na NDOIGE kutoka kwangu"

Karim Mandonga - Bondia
 
THE GOOD SIDE OF SADDAM HUSSEIN—MBONA WAZUNGU HAWASEMI KUHUSU HILI!?
#UZI
Ashukuriwe yule aliyeniumba “Binadamu”, kwasababu laiti kama Ningeumbwa “Mkonge”,
KATU

Nisingekubali Nivunwe,na kisha nyuzi-nyuzi zangu eti zikatumike kuinyonga shingo ya Saddam Hussein, NISINGEKUBALI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…