Hii hali nilikuwa nakutana nayo Iringa, kuna ka kipindi fulani ikifika saa 12 hapo mpaka saa moja jioni kama hujabook chumba mapema basi imekula kwako maana guest zote za town utakuta zimejaa
Soma Tena comment yangu kama Kuna neno mlemavu. Nimesema wewe ni mdada mweupe na unaombaomba sana pesa Kwa wanaume ndiyo maana umekasirika kwenye hicho kituko.
Rejea post ya kwanza tulipoanzia, uliwananga walemavu kuwa wanaomba omba! Ndio nikakujibu hivyo usitoke kwenye mada, uungwana waombe radhi walemavu unatumia ulemavu wao kudhalilishia