Nakuja Dar soon na nitapenda sana kuonana nawe. Hata kama utakuwa huko Kusini tutafanya namna. Kuna ishu fulani fulani (siyo za kichawi) pengine utaweza kunisaidia...
Kuna namna flani hivi kama ya kucheza salsa ππ½ huwa naipenda sana kucheza na mzee mwenzangu mwenye nguvu zake.....!
Enzi kalabash panabamba nilikuwa nacheza ile live band mtindo wa salsa mwanzo mwisho.
Sasa mpatane mnaenda moves sawa weeweee huku ukimgeukia ukampa mgongo bado steps mnaenda sawa...
Halafu anakushika mkono mmoja juu unazunguka unarudi kwenye kutizamana mnaendelea kucheza weeeweeee aaachaaaaa....!
Sasa hapo kijana wa nini ati, akati hata wallet wanazo hao hao 45 - 60...πππ