Vituko mitandaoni. Tupia chako

Utawahi?

Mbona mnapenda kujizeesha sana?

Huwa mnafikiri hamtazeeka?
Ninachokisema ni kweli kabisa, nina uhakika nimesoma hii habari ilikuwa kwenye mfumo wa shairi, kitabu cha darasa la nne kilikuwa na cover la bluu.
Nipende uzee wa nini aisee hapa nikikumbuka umri wangu kama nilikuwa nacheka najikuta kicheko kimekatika ghafla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…