Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mgeni​

Huyu Mgeni ni shiiiida!
Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda?
Mgeni: Nipe nianze na soda wakati chai inachemka.
Mwenyeji: Utakunywa fanta au sprite?
Mgeni: Nipe fanta wakati sprite inapoa.
Mwenyeji: Utakunywa na keki au mkate?
Mgeni: Nipe keki mkate nitanywea chai ikishachemka.
Mwenyeji: Utapendelea ndiz au machungwa,
Mgeni: Nipe machungwa ndizi ntakula na wali
mchana.
Chezea mgeni ww.!!!
 
Siamini mtu aliyemaliza form four awe na akili hizo
 
NOTE: Sio Lyrics Halisia na Wimbo wenyewe.......Wimbo huu ni wakifaransa ulioimbwa na "Vegedream ukienda kwa jina la remenez la coupe a la maison " special kwaajili ya Timu ya Taifa ya Ufaransa kwenye kombe la Dunia 2018 ambapo walifanikiwa kuchukua kombe hilo


Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…