Visa vya Madenge
Baada ya kumaliza form four babaake akamwambia achague zawadi yoyote aipendayo
MADENGE: naomba pesa nikamuoe bibi maana siku nyingi amekuwa akiniita mchumba wake.
BABA: Shenzi kabisa wewe. Yule ni mama yangu mzazi huwezi kumuoa.
MADENGE: Mbona wewe umemuoa mama yangu mzazi sijasema kitu? Lazima nilipize kisasi ikikuuma muache mama yangu ili kila mtu akae na mamayake