Sasa hapo unakuwa unamkomoa nani? Na unaweza kumfanyia hivyo mtu ambaye kweli ulikuwa unadai kufa na kupona kuwa unampenda? Atakuwa amekutendea kosa gani kubwa mpaka ufikie hatua hii mbali na cheating labda
ndio maana nimesema ni hatua ya mwisho kabisa baada ya kutafuta suluhisho ikashindikana. Hata watu wanaopendana sana leo kesho wanaweza kuachana si ndio?
ndio maana nimesema ni hatua ya mwisho kabisa baada ya kutafuta suluhisho ikashindikana. Hata watu wanaopendana sana leo kesho wanaweza kuachana si ndio?
Hii siku ya nne nimeblokiwa na sioni dalili za kufunguliwa. Ingekuwa ni mimi hata nusu saa isingefika....Halafu mnavyolalamika sasa na kutuona sisi wanaume ndo wabaya