[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio maana nimesema ni hatua ya mwisho kabisa baada ya kutafuta suluhisho ikashindikana. Hata watu wanaopendana sana leo kesho wanaweza kuachana si ndio?Sasa hapo unakuwa unamkomoa nani? Na unaweza kumfanyia hivyo mtu ambaye kweli ulikuwa unadai kufa na kupona kuwa unampenda? Atakuwa amekutendea kosa gani kubwa mpaka ufikie hatua hii mbali na cheating labda [emoji16][emoji16]
View attachment 2298016
Najua bana...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio maana nimesema ni hatua ya mwisho kabisa baada ya kutafuta suluhisho ikashindikana. Hata watu wanaopendana sana leo kesho wanaweza kuachana si ndio?
Huyo unayeogopa kucheza na feelings zake yeye anacheza na za kwako , na za mwingine na mwingine tena[emoji16][emoji16] kama mbwai mbwai tuNever play with someone's feelings. But then how will you get utelezi? [emoji848][emoji848][emoji57]
View attachment 2298020
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hayanaga kabisaNajua bana...
Cha muhimu tu waachane kwa amani bila kuumizana na kuwekeana visasi. Hayanaga mwongozo hayo makitu yaani [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]Me....
Hii siku ya nne nimeblokiwa na sioni dalili za kufunguliwa. Ingekuwa ni mimi hata nusu saa isingefika....Halafu mnavyolalamika sasa na kutuona sisi wanaume ndo wabaya [emoji16][emoji16][emoji16]
Ona unavyofurahia sasa. Kublokiwa kunauma pengine hata zaidi ya kulishwa blue/gray/red/yellow ticks [emoji16][emoji16][emoji16]
Kaona debe la mchele[emoji23][emoji23][emoji23]
Why?Me too
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hata sijui...ila sio tako kama la huyo singo mama hapo juu...la kawaida tuWhy?