Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hivi sadaka zinaenda mbinguni, au zinaliwa hapa hapa duniani na wanaume
Zinatoa huduma. Zinajenga majengo. Zinalipa mishahara na chakula cha wachungaji pamoja na magari yao. Zinalipia bili za umeme, maji n.k. Zinatumika kusaidia masikini wenye uhitaji...na zingine zinaliwa na kutapanywa hovyo na wachungaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…