SUMU
Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani alihisi sio wa kwake.
Ajabu ni kuwa aliporudi kutoka kazini alikuta house boy amekufa..
Alipoulizwa akang'aka:
Msiniulize amekufaje. Mie mambo ya umbea sipendi, niliondoka zangu mapemaaa kwenda kazini!!