Hii nchi ngumu sana, watu wapo serikali miaka na miaka tena wameshika nyadhifa kubwa kubwa, wame accumulate wealth vya kutosha, families zao zimepewa vipaumbele kibao lakini still wanaomba walipwe tena na tena,hivi hawaoni hata aibu
Sidhani kama hata wanafikiriaga maisha ya mtanzania mmoja mmoja wale chini kabisa!